They will offer ˹full˺ submission to Allah on that Day, and whatever ˹gods˺ they fabricated will fail them.
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qira'at
Hadith
Na hiyo Siku ya Kiyama, washirikina wataonyesha kusalimu amri na unyenyekevu kwa Mwenyezi Mungu, na yatawapotea yale ya urongo waliokuwa wakiyazua na kwamba waungu wao watawaombea.