It was not long before the bird came and said, “I have found out something you do not know. I have just come to you from Sheba with sure news.
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qira'at
Hadith
Akakaa hud-hud muda usio mrefu kisha akahudhuria, na Sulaymān akamlaumu juu ya kughibu kwake na kutokuwako kwake. Hud-hud akamwambia, «Nimejua jambo usilolijuwa kikamilifu, na nimekujia kutoka mji wa Saba’ na habari ya jambo muhimu sana, na mimi nina yakina nalo.