The Queen ˹later˺ announced, “O chiefs! Indeed, a noble letter has been delivered to me.
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qira'at
Hadith
Hud-hud alienda akamrushia malkia ile barua. Papo hapo akaisoma na akawakasunya watukufu wa watu wake, na akamsikia akisema, «Mimi nimefikiwa na barua tukufu yenye cheo kutoka kwa mtu mkubwa wa cheo.»