We have already been promised this, as well as our forefathers earlier. This is nothing but ancient fables!”
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qira'at
Hadith
Tuliahidiwa kufufuliwa huku, sisi na wazazi wetu, hapo kabla(tulipokuwa duniani) hatukuuona uhakika wake wala kutokea kwake. Hatukuona ahadi hii isipokuwa ni hadithi za urongo zilizozuliwa na kuandikwa na watu wa kale ndani ya vitabu vyao.