Do not grieve for them, nor be distressed by their schemes.
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qira'at
Hadith
Usiwe na masikitiko juu ya kukupa mgongo kwao, hao washirikina, na kukukanusha, na usiwe na dhiki moyo wako juu ya vitimbi vyao wanavyokufanyia, kwani Mwenyezi Mungu ni Mwenye kukupa ushindi juu yao.