Indeed, those who unjustly consume orphans’ wealth ˹in fact˺ consume nothing but fire into their bellies. And they will be burned in a blazing Hell!
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qira'at
Hadith
Wale wanaozifuja mali za mayatima wakawa wazichukua pasi na haki, hakika wanakula Moto utakaowaka matumboni mwao Siku ya Kiyama; wataungia Moto ambao watalisikia joto lake.