who choose disbelievers as allies instead of the believers. Do they seek honour and power through that company? Surely all honour and power belongs to Allah.
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qira'at
Hadith
Ambao wanawategemea makafiri na kuwafanya ni wasaidizi wao, na wanaacha kuwapenda Waumini na kuwategemea, wala hawana haja ya mapenzi yao. Kwani wanatafuta, kwa hilo kuokolewa na kupata hifadhi kwa makafiri? Hili wao hawalimiliki. Kwani uokozi, enzi na nguvu, vyote ni vya Mwenyezi Mungu, Aliyetukuka, Peke Yake.