We raised the Mount over them ˹as a warning˺ for ˹breaking˺ their covenant and said, “Enter the gate ˹of Jerusalem˺ with humility.” We also warned them, “Do not break the Sabbath,” and took from them a firm covenant.
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qira'at
Hadith
Na tukaliinua juu ya vichwa vyao jabali la Tūr walipokataa kujilazimisha na ahadi iliyotiliwa mkazo waliyoitoa ya kuwa watazitumia hukumu za Taurati. Na tukawaamrisha waingie lango la Bait al-Maqdis hali ya kusujudu , nao wakaingia wakijikokota kwa matako yao. Na tukawaamrisha wasifanye uadui kwa kuvua siku ya Jumamosi, wakafanya uadui hivyo hivyo na wakavua. Na tukachukua kutoka kwao ahadi ya mkazo, pia waliivunja hivyo hivyo.