We forbade the Jews certain foods that had been lawful to them for their wrongdoing, and for hindering many from the Way of Allah,
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qira'at
Hadith
Na kwa sababu ya dhuluma ya Mayahudi kwa madhambi makubwa waliyoyafanya, Mwenyezi Mungu Aliwaharamishia vyakula vizuri vilivyokuwa halali kwao, na pia kwa sababu ya kuzizuia nafsi zao na kuwazuia wengine wao wasiifuate dini ya Mwenyezi Mungu iliyo ya sawa.