Sign in
Sign in
Sign in
Select Language

Tafsir: An-Nisa 4:175

4:175
فاما الذين امنوا بالله واعتصموا به فسيدخلهم في رحمة منه وفضل ويهديهم اليه صراطا مستقيما ١٧٥
فَأَمَّا ٱلَّذِينَ ءَامَنُوا۟ بِٱللَّهِ وَٱعْتَصَمُوا۟ بِهِۦ فَسَيُدْخِلُهُمْ فِى رَحْمَةٍۢ مِّنْهُ وَفَضْلٍۢ وَيَهْدِيهِمْ إِلَيْهِ صِرَٰطًۭا مُّسْتَقِيمًۭا ١٧٥
فَأَمَّا
ٱلَّذِينَ
ءَامَنُواْ
بِٱللَّهِ
وَٱعۡتَصَمُواْ
بِهِۦ
فَسَيُدۡخِلُهُمۡ
فِي
رَحۡمَةٖ
مِّنۡهُ
وَفَضۡلٖ
وَيَهۡدِيهِمۡ
إِلَيۡهِ
صِرَٰطٗا
مُّسۡتَقِيمٗا
١٧٥
As for those who believe in Allah and hold fast to Him, He will admit them into His mercy and grace and guide them to Himself through the Straight Path.
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qira'at
Hadith
Ama wale waliomuamini Mwenyezi Mungu kiitikadi, kimaneno na kivitendo, na wakashikamana na Nuru ambayo waliteremshiwa, Atawaingiza Peponi ikiwa ni rehema na fadhila kutoka Kwake na Atawaafikia kufuata njia iliolingana sawa, itakayopelekea kwenye mabustani ya Peponi.