If you avoid the major sins forbidden to you, We will absolve you of your ˹lesser˺ misdeeds and admit you into a place of honour.1
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qira'at
Hadith
Mkijiepusha, enyi Waumini, na madhambi makubwa, kama kumshrikisha Mwenyezi Mungu, kuwaasi wazazi wawili, kumuua mtu bila ya haki na mengineyo, tutawasamehe madhambi yenu madogo yaliyo chini ya hayo na tutawaingiza mahali pema pa kuingia, napo ni Pepo.