it is right to hope that Allah will pardon them. For Allah is Ever-Pardoning, All-Forgiving.
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qira'at
Hadith
Wanyonge hawa ndio wanaotarajiwa kupata msamaha kutoka kwa Mwenyezi Mungu Aliyetukuka, kwa kuwa Yeye Anaujua uhakika wa mambo yao. Na Mwenyezi Mungu ni Mwingi wa msamaha, Anawasamehe makosa yao na Anawafinikia na kuwasitiria.