Moreover, establish prayer, pay alms-tax, and obey the Messenger, so you may be shown mercy.
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qira'at
Hadith
Na isimamisheni Swala kwa kuitimiza, na toeni Zaka kuwapa wanaostahiki kupewa na mumtii Mtume, rehema ya Mwenyezi Mungu na amani zimshukie, kwa kutarajia Mwenyezi Mungu Awarehemu.