and a fifth oath that Allah may be displeased with her if he is telling the truth.1
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qira'at
Hadith
Na aongeze katika ushahidi wake wa mara ya tano kwa kujiapiza kuwa anapaswa kushukiwa na hasira za Mwenyezimngu iwapo mumewe ni mkweli katika madai yake kuwa yeye amezini. Na katika hali hii watatenganishwa baina ya wao wawili.