The disbelievers say, “If only a sign could be sent down to him from his Lord.” You ˹O Prophet˺ are only a warner. And every people had a guide.
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qira'at
Hadith
Na makafiri wa Makkah wanasema, «Basi si ajiwe na miujiza inayoonekana kama fimbo ya Mūsā na ngamia wa Ṣāliḥ.» Na hilo haliko kwenye mkono wako, ewe Mtume; hukuwa wewe isipokuwa ni mwenye kuwafikishia na ni mwenye kuwatisha adhabu ya Mwenyezi Mungu. Na kila ummah una mjumbe wa kuwaongoza kwenye njia ya Mwenyezi Mungu Aliyetukuka.