And on the Day the Hour will arrive, the wicked will swear that they did not stay ˹in this world˺ more than an hour. In this way they were always deluded ˹in the world˺.
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qira'at
Hadith
Na siku kitakapokuja Kiyama na Atakapo Mwenyezi Mungu kuwafufua viumbe kutoka makaburini mwao, wataapa washirikina kwamba hawakukaa duniani isipokuwa kipindi kifupi cha wakati. Watasema urongo katika kiapo chao kama walivyokuwa wakisema urongo duniani na wakiikataa haki ambayo Mitume walikuja nayo.