For, indeed, if they find out about you, they will stone you ˹to death˺, or force you back into their faith, and then you will never succeed.”
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qira'at
Hadith
Kwa hakika watu wenu wakiwagundua mulipo watawapiga mawe wawaue au watawarudisha kwenye dini yao muwe makafiri, na mkifanya hivyo basi hamtafaulu kabisa kupata matakwa yenu ya kuingia Peponi.