تسجيل الدخول
تسجيل الدخول
تسجيل الدخول
اختر اللغة

التفسير: الشعراء ٢٢٣:٢٦

٢٢٣:٢٦
يلقون السمع واكثرهم كاذبون ٢٢٣
يُلْقُونَ ٱلسَّمْعَ وَأَكْثَرُهُمْ كَـٰذِبُونَ ٢٢٣
يُلۡقُونَ
ٱلسَّمۡعَ
وَأَكۡثَرُهُمۡ
كَٰذِبُونَ
٢٢٣
تفاسير
الطبقات
فوائد
تدبرات
الإجابات
قراءات
الحديث
Mashetani wanasikiliza kwa kuiba, wanayanyakuwa maneno kutoka sehemu za juu wakawatupia makuhani na wale wanaokuwa na mwenendo wao miongoni mwa watu wenye matendo mabaya. Na wengi wa hawa ni warongo, kwani mmoja wao husema kweli katika neno moja na akaongeza juu yake maneno mia moja ya urongo.