(ص) سبق الكلام على الحروف المقطَّعة في أول سورة البقرة.
تفاسير
الطبقات
فوائد
تدبرات
الإجابات
قراءات
الحديث
Anaapa Mwenyezi Mungu, Aliyetakasika, kwa Qur’ani inayokusanya ukumbushaji kwa watu kwa yale ambayo wao wameghafilika nayo. Lakini makafiri wanaifanyia kiburi haki na wanaenda kinyume nayo.