Now, the pagans are astonished that a warner has come to them from among themselves.1 And the disbelievers say, “This is a magician, a total liar!
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qira'at
Hadith
Na wameona ajabu washirikina hawa kuwa Mwenyezi Mungu Amewatumia binadamu miongoni mwao awalinganie kwa Mwenyezi Mungu na awaogopeshe adhabu Yake na wakasema, «Hakika yeye si Mtume bali yeye ni mrongo katika maneno yake, anawafanyia uchawi watu wake.