The only ˹true˺ believers in Our revelation are those who—when it is recited to them—fall into prostration and glorify the praises of their Lord and are not too proud.
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qira'at
Hadith
Kwa kweli, wanaoziamini aya za Qur’ani na kuzifuata kivitendo ni wale ambao wanapowaidhiwa nazo au wanaposomewa, wanamsujudia Mola wao kwa kumnyenyekea na kumtii na wanamtakasa Mwenyezi Mungu kwa kumsifu katika kusujudu kwao, na hali wao hawaoni kiburi wakaacha kumsujudia na kumtakasa na kumuabudu Yeye Peke Yake Asiyekuwa na mshirika.