He responded, “And what knowledge do I have of what they do?
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qira'at
Hadith
Nūḥ, amani imshukie, aliwajibu kwa kusema, «Sikupewa jukumu la kujua matendo yao. Jukumu nililopewa ni kuwalingania wao kwenye Imani. Na linalozingatiwa ni Imani, na sio cheo, ukoo, kazi na ujuzi wa sanaa.