Sign in
Sign in
Sign in
Select Language

Tafsir: Ash-Shu'ara 26:156

26:156
ولا تمسوها بسوء فياخذكم عذاب يوم عظيم ١٥٦
وَلَا تَمَسُّوهَا بِسُوٓءٍۢ فَيَأْخُذَكُمْ عَذَابُ يَوْمٍ عَظِيمٍۢ ١٥٦
وَلَا
تَمَسُّوهَا
بِسُوٓءٖ
فَيَأۡخُذَكُمۡ
عَذَابُ
يَوۡمٍ
عَظِيمٖ
١٥٦
And do not ever touch her with harm, or you will be overtaken by the torment of a tremendous day.”
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qira'at
Hadith
Na msimguse kwa kitu chochote cha kumdhuru, kama kipigo au mauaji au mfano wake, kwani mkifanya hivyo, Mwenyezi Mungu Atawaangamiza nyinyi kwa adhabu ya Siku ambayo shida yake ni kubwa kwa sababu ya papatiko litakalotukia Siku hiyo na shida.