Pharaoh said to those around him, “Did you hear ˹what he said˺?”
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qira'at
Hadith
Fir’awn akasema kuwaambia walioko pambizoni mwake miongoni mwa watukufu wa watu wake, «Je, hamusikii maneno ya Mūsā ya ajabu kwamba kuna mola asiyekuwa mimi?»