Whatever affliction befalls you is because of what your own hands have committed. And He pardons much.
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qira'at
Hadith
Na msiba wowote uliowakumba, enyi watu, katika Dini yenu na dunia yenu, ni kwa sababu ya dhambi mlizozitenda na makosa. Na Mola wenu Anawasamehe nyinyi makosa mengi Asiwaadhibu kwa kuyafanya.