the Path of Allah, to Whom belongs whatever is in the heavens and whatever is on the earth. Surely to Allah all matters will return ˹for judgment˺.
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qira'at
Hadith
njia ya Mwenyezi Mungu Aliye na mamlaka ya vyote vilivyoko mbinguni na vilivyoko ardhini, hana mshirika katika hayo. Jua utanabahi kwamba kwa mwenyezi Mungu , enyi watu, yatarudi mambo yote yenu ya kheri na shari, na huko Amlipe kila mtu kwa matendo yake, yakiwa mema alipwe wema na yakiwa mabaya alipwe ubaya.