So they tasted the evil consequences of their doings, and the outcome of their doings was ˹total˺ loss.
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qira'at
Hadith
tukawahesabu juu ya matendo yao duniani hesabu kali mno na tukawaadhibu adhabu kubwa na mbaya, wakauonja mwisho mbaya wa ujeuri wao na ukafiri wao, na mwisho wa ukafiri wao ulikuwa ni maangamivu na hasara, hapana hasara nyingine baada ya hiyo.