So ˹continue to˺ remind ˹all, O Prophet˺. For you, by the grace of your Lord, are not a fortune-teller or a madman.
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qira'at
Hadith
Basi wawaidhie, ewe Mtume, wale uliotumilizwa kwao kwa Qur’ani, kwani hukuwa wewe, kwa neema ya Mwenyezi Mungu Aliokuneemesha kwayo ya unabii na busara ya akili, ni kuhani anayetoa habari za ghaibu bila ujuzi wala mwendawazimu asiyejua analolisema, kama wanavyodai.