˹Then˺ they pleaded, “O ˹mighty˺ magician! Pray to your Lord on our behalf, by virtue of the covenant He made with you.1 We will certainly accept guidance.”
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qira'at
Hadith
Na Fir’awn na viongozi wa utawala wake wakasema kumwambia Mūsā, ”Ewe mjuzi! (Na mchawi alikuwa kwao ni mtu mkubwa wanayemheshimu, na haukuwa uchawi ni sifa ya mtu kutukanika), ’Tuombee Mola wako, kwa ile ahadi Aliyokuahidi na yale matukufu Aliyokutunukia wewe mahsusi, Atuepushie adhabu, kwani tukiepushiwa adhabu, kwa hakika sisi ni wenye kuongoka na kuayaamini yale uliotujia nayo.