Or have they taken others besides Allah as intercessors? Say, ˹O Prophet,˺ “˹Would they do so,˺ even though those ˹idols˺ have neither authority nor intelligence?”
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qira'at
Hadith
Au kwani hawa wanaomshirikisha Mwenyezi Mungu wamewachukua badala Yake Yeye waungu wao wanaowaabudu wakawafanya ni waombezi wakuwaombea kwa Mwenyezi Mungu katika haja zao? Waambie, «Je mnawafanya ni waombezi kama mnavyodai, ingawa waungu hao hawamiliki chochote na hawafahamu kamwe kuwa nyinyi mnawaabudu?