On the Day of Judgment you will see those who lied about Allah with their faces gloomy. Is Hell not a ˹fitting˺ home for the arrogant?
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qira'at
Hadith
Na Siku ya Kiyama utawaona hao wakanushaji, waliomsifu Mola wao kwa sifa zisizolingana na Yeye na wakamnasibisha Yeye na mshirika na mwana, nyuso zao zimekuwa nyeusi. Si ndani ya Jahanamu kuna mashukio na makao kwa aliyemfanyia Mwenyezi Mungu kiburi akakataa kumpwekesha na kumtii? Ndio.