Whatever ˹idols˺ they used to invoke besides Allah will fail them. And they will realize that they will have no escape.
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qira'at
Hadith
Wakawapotea hao washirikina wale washirika wao ambao walikuwa wakiwaabudu badala ya Mwenyezi Mungu, wasiwanufaishe na wakajuwa kwa yakini kuwa hakuna makimbilio yoyote ya kuwaepusha wao na adhabu ya Mwenyezi Mungu.