Are they waiting for ˹anything˺ except the same torments that befell those before them? Say, “Keep waiting then! I too am waiting with you.”
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qira'at
Hadith
Je, hawa wanangojea isipokuwa hiyo siku watakapoishuhudia adhabu ya Mwenyezi Mungu mfano wa siku za wakale wao waliokanusha waliopita kabla yao? Sema, ewe Mtume, «Ingojeeni adhabu ya Mwenyezi Mungu; hakika mimi ni mwenye kuingojea pamoja na nyinyi kuteswa kwenu.»