They responded, “Have we not forbidden you from protecting anyone?”
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qira'at
Hadith
Watu wake wakasema, «Kwani sisi si tulikukataza kumkaribisha mgeni yoyote miongoni mwa walimwengu - na walikuwa wakiwakatia njia wasafiri - kwa kuwa sisi tunataka kufanya machafu na wao?»