and say, ‘Glory be to our Lord! Surely the promise of our Lord has been fulfilled.’
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qira'at
Hadith
Na wanasema, hawa waliopewa ujuzi, wanapoisikia Qur’ani, «Kuepukana na kutakasika ni kwa Mola wetu na kila sifa wanazompa washirikina; halikuwa agizo la Mwenyezi Mungu Aliyetukuka isipokuwa ni lenye kutukia kikweli.»