When you ˹O Prophet˺ recite the Quran, We put a hidden barrier between you and those who do not believe in the Hereafter.
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qira'at
Hadith
Na usomapo Qur’ani wakaisikia hawa washirikina, tunaweka baina yako wewe na hawa wasioiamini Akhera pazia yenye kusitiri ili kuziziba akili zao wasiifahamu Qur’ani, ikiwa ni mateso kwao kwa ukafiri wao na kukanusha kwao.