Sign in
Sign in
Sign in
Select Language

Tafsir: Al-Furqan 25:65

25:65
والذين يقولون ربنا اصرف عنا عذاب جهنم ان عذابها كان غراما ٦٥
وَٱلَّذِينَ يَقُولُونَ رَبَّنَا ٱصْرِفْ عَنَّا عَذَابَ جَهَنَّمَ ۖ إِنَّ عَذَابَهَا كَانَ غَرَامًا ٦٥
وَٱلَّذِينَ
يَقُولُونَ
رَبَّنَا
ٱصۡرِفۡ
عَنَّا
عَذَابَ
جَهَنَّمَۖ
إِنَّ
عَذَابَهَا
كَانَ
غَرَامًا
٦٥
˹They are˺ those who pray, “Our Lord! Keep the punishment of Hell away from us, for its punishment is indeed unrelenting.
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qira'at
Hadith
Na ambao, pamoja na kujibidiisha kufanya ibada, wanamuogopa Mola wao na kwa hivyo wanamuomba Awaokoe na adhabu ya Jahanamu, kwani adhabu yake inalazimiana na muadhibiwa.