Sign in
Sign in
Sign in
Select Language

Tafsir: Ash-Shu'ara 26:223

26:223
يلقون السمع واكثرهم كاذبون ٢٢٣
يُلْقُونَ ٱلسَّمْعَ وَأَكْثَرُهُمْ كَـٰذِبُونَ ٢٢٣
يُلۡقُونَ
ٱلسَّمۡعَ
وَأَكۡثَرُهُمۡ
كَٰذِبُونَ
٢٢٣
who gives an ˹attentive˺ ear ˹to half-truths˺, mostly passing on sheer lies.1 
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qira'at
Hadith
Mashetani wanasikiliza kwa kuiba, wanayanyakuwa maneno kutoka sehemu za juu wakawatupia makuhani na wale wanaokuwa na mwenendo wao miongoni mwa watu wenye matendo mabaya. Na wengi wa hawa ni warongo, kwani mmoja wao husema kweli katika neno moja na akaongeza juu yake maneno mia moja ya urongo.