Surely those who disbelieve and die as disbelievers are condemned by Allah, the angels, and all of humanity.
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qira'at
Hadith
Hakika wale waliokanusha imani na wakaficha haki na wakaendelea hivyo mpaka kufa kwao, juu yao kuna laana ya Mwenyezi Mungu na Malaika na watu wote kwa kuwatoa kwenye rehema Yake.