Sign in
Sign in
Sign in
Select Language

Tafsir: Az-Zukhruf 43:36

43:36
ومن يعش عن ذكر الرحمان نقيض له شيطانا فهو له قرين ٣٦
وَمَن يَعْشُ عَن ذِكْرِ ٱلرَّحْمَـٰنِ نُقَيِّضْ لَهُۥ شَيْطَـٰنًۭا فَهُوَ لَهُۥ قَرِينٌۭ ٣٦
وَمَن
يَعۡشُ
عَن
ذِكۡرِ
ٱلرَّحۡمَٰنِ
نُقَيِّضۡ
لَهُۥ
شَيۡطَٰنٗا
فَهُوَ
لَهُۥ
قَرِينٞ
٣٦
And whoever turns a blind eye to the Reminder of the Most Compassionate, We place at the disposal of each a devilish one as their close associate,
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qira'at
Hadith
Na mwenye kuupa mgongo utajo wa Mwingi wa Rehema, nao ni Qur’ani, asiogope mateso yaliyotajwa ndani yake na asijiongoze kwa uongofu wake, tutamwekea Shetani hapa duniani wa kumpoteza, ikiwa ni malipo yake ya kuupa mgongo kwake utajo wa Mwenyezi Mungu. Shetani huyo atakuwa na yeye wakati wote na kufuatana naye, akimkataza ya halali na kumsukuma afanye ya haramu.