Similarly, no messenger came to those before them without being told: “A magician or a madman!”
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qira'at
Hadith
Kama walivyomkanusha Makureshi Mtume wao Muhammad, rehema ya Mwenyezi Mungu na amani zimshukie, wakasema, «Yeye ni mshairi, au mchawi, au mwendawazimu.», ndivyo walivyofanya ummah waliowakanusha Mitume wao kabla ya Makureshi, na Mwenyezi Mungu Akawashushia mateso Yake.