And this ˹Quran˺ is not the word of an outcast devil.1
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qira'at
Hadith
Wala haikuwa hii Qur’ani ni neno la Shetani aliyefukuzwa na kutolewa kwenye rehema ya Mwenyezi Mungu. Lakini Qur’ani hii ni maneno ya Mwenyezi Mungu na ni Wahyi wake.