And He is the One Who gave you life, then will cause you to die, and then will bring you back to life. ˹But˺ surely humankind is ever ungrateful.
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qira'at
Hadith
Na Yeye Ndiye Mwenyezi Mungu Aliyewapa uhai kwa kuwafanya mupatikane kutoka kwenye hali ya kutokuwako, kisha Atawafisha umri wenu ukomapo, kisha Atawahuisha kwa kuwafufua ili Awahesabu kwa matendo yenu. Hakika mwanadamu ni mwingi wa kukataa alama zenye kuonyesha uweza wa Mwenyezi Mungu na upweke Wake.