and do not defraud people of their property. Nor go about spreading corruption in the land.
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qira'at
Hadith
na msiwapunje watu chochote katika haki zao kwenye vipimo au mizani au vinginevyo, na msizidishe uharibifu katika ardhi kwa kufanya ushirikina, kuua, kunyang’anya, kuwatisha watu na kutekeleza vitendo vya uasi.