Reasonable provisions must be made for divorced women—a duty on those mindful ˹of Allah˺.
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qira'at
Hadith
Na wanawake waliotalikiwa wanastahiki wapewe kiliwazo cha mavazi na matumizi kwa mujibu wa mpango unaojulikana na kupendekezwa na kisheria. Hiyo ikiwa ni haki juu ya wale wanaomuogopa Mwenyezi Mungu katika amri Zake na Makatazo Yake.