’Ȃd ˹also˺ rejected ˹the truth˺. Then how ˹dreadful˺ were My punishment and warnings!
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qira'at
Hadith
Watu wa kabila la 'Ād walimkanusha Hūd tukawatesa, basi ilikuwa vipi vile nilivyowaadhibu wao kwa ukafiri wao na vile nilivyowaonya wao kwa kumkanusha Mtume wao na kutomuamini? Ilikuwa kubwa yenye uchungu.