But those who commit evil, then repent and become ˹true˺ believers, your Lord will certainly be All-Forgiving, Most-Merciful.
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qira'at
Hadith
Na wale waliofanya maovu ya ukafiri na maasia kisha wakarejea, baada ya kuyafanya, kwenye Imani na matendo mema, hakika Mola wako baada ya toba ya kidhati ni Msamehefu mno wa vitendo vyao viovu si Mwenye kuwafedhehi kwavyo, ni Mwenye kuwarehemu wao na kila aliye mfano wao miongoni mwa wenye kutubia.