Indeed, before them We tested Pharaoh’s people: a noble messenger came to them,
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qira'at
Hadith
Hakika sisi tushawafanyia mtihani na kuwajaribu watu wa Fir’awn kabla ya hawa washirikina, na aliwajia wao Mtume mtukufu, naye ni Mūsā, amani imshukie, wakamkanusha na wakaangamia. Basi hivi ndivyo tutakavyowafanya maadui zako, ewe Mtume, wasipoamini.