˹Allah responded,˺ “Leave with My servants at night, for you will surely be pursued.
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qira'at
Hadith
Basi enda na waja wangu waliokuamini, wakakusadiki na wakakufuata, ewe Mūsā, katika kipindi cha usiku, kwani nyinyi mtafuatwa na Fir’awn na askari wake. Na nyinyi mtaokolewa, na Fir’awn askari wake watazama.