Then and there the believers were put to the test, and were violently shaken.
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qira'at
Hadith
Katika msimamo huo mgumu, Imani za Waumini zilijaribiwa na watu wakakaguliwa, na akajulikana mnafiki kwa kutengwa na Muumini, na wakasukikasukika msukosuko mkali kwa kuingiwa na kicho na babaiko, ili Imani yao ibainike na yakini yao izidi